TRAFIKI WASABABISHA AJALI KISHA WATIMUA WAMWACHA JAMAA ANAGALAGALA CHINI KWA MAUMIVU MBEYA

Jamaa ambae jina lake halikuweza kupatikana alisukumwa na trafiki waendesha pipipiki na jamaa huyo nae alikuwa anaendesha pikipiki  ilikuwa kama sinema kwani jamaa baada ya kuangushwa trafiki hao mmoja alikuja kumuangalia alipomuona jamaa analalamika kwa maumivu akaamua kutimka 



Kidogo askari huyu apate kichapo kwa wananchi wenye hasira kali paada ya kuona kuwa wanausalama hao wa barabarani ndiyo waliosababisha ajali hiyo kiuzembe


Mwenzake kuona mambo magumu kaamua kugeuza pikipiki yao ili watimke

Jamaa huyo anaondoka kama yupo vile yaani nikituko hicho hawakurudi tena eneo la tukio

Jamaa anasaidiwa na wasamaria wema kumpeleka hospitali



picha na mbeya yetu, na mbeyayetu blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo