Waziri Mkuu Mizengo Pinda(Kushoto)akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa chadema Taifa na Mbunge wa Mpanda Mjini Chadema Said Arfi kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma hivi karibuni.
--
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezidi kuandamwa na migogoro baada ya jana kuibuka mwingine mkubwa katika kikao chake cha ndani mkoani Katavi kiasi cha kumfanya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Said Arfi, kutupa kadi yake ya uanachama.
Huu ni mgogoro wa pili mkubwa kuripotiwa katika kipindi cha juma moja lililopita baada ya ule wa wilayani Karatu ambako pamoja na mambo mengine uliishia kwa Kamati Kuu kuusimamisha uongozi wote wa chama hicho wilaya.
Kwa habari zaidi bofya na Endelea.......>>>>>>