BREAKING NEWZ: HAWA NG'HUMBI AOMBA KESI YAKE NA MNYIKA IONDOLEWE MAHAKAMANI


Mnyika akiwa na Ng'humbi mahakamani

Hawa Ng’humbi kupitia kwa wakili wake ameomba rufaa iondolewe mahakamani bila gharama.

Ilikuwa ni baada ya maombi aliyotoa mapema kwa Wakili wa mujibu rufani, John Mnyika kwamba aruhuhusiwe kuchomoa na asamehewe gharama za kesi hatua ya rufaa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo