KAMERA YANGU

 Basi hili nililipanda kutoka Iringa hadi Morogoro, limebandikwa karatasi maalum lenye kuonesha namba za askari wa usalama barabarani katika mikoa mbalimbali, hii imenifurahisha sana kwani mabasi mengi hayana na hii ni changamoto kubwa
 Kutoka kulia Abbas, Jumanne Juma wote ni watangazaji wa Nuru Fm Iringa na Veronica Mtauka kutoka Kitulo Fm Makete wakiwa kwenye kituo cha mabasi cha Msamvu mkoani Morogoro
 Hapa ni Jumanne Juma kutoka Nuru FM na mmiliki wa mtandao huu Edwin Moshi (kulia)kutoka Kitulo Fm tukiwa Msamvu Morogoro
 Morogoro
Hapa ndipo tulipofikia


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo