KAMERA YANGU

Hivi karibuni barabara ya makete Njombe eneo la mabehewani liliwekwa matuta kama njia ya kudhibiti mwendo kasi wa magari na pikipiki, pichani ni mimi mwenyewe nikishiriki zoezi hilo la kuweka matuta

Tatu Sijaona mtangazaji wa Kitulo Fm akionesha ishara ya chama fulani cha siasa, dizaini kama "Mh. halima Mdee hivi"


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo