Harakati za kuupinga muungano wa Tanganyika na Zanzibar zimeanza kuwatia tumbo joto wahusika visiwani Zanzibar katika wakati ambapo Tanzania iko katika mchakato wa kutafuta katiba mpya.
Wananchi wa Zanzibar sasa wapo katika harakati za kutafuta katiba mpya
Wananchi wa Zanzibar sasa wapo katika harakati za kutafuta katiba mpya

Viongozi 12 wa harakati za kuupinga muungano huo wamekamatwa asubuhi ya leo na jeshi la polisi katika viwanja vya baraza la wawakilishi walikokuwa wamekwenda kwa lengo la kuwashindikiza wawakilishi waitishe kura hiyo ya maoni.
na DW


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo