Taarifa za uhakika zilizotua hivi punde katika mtandao huu kutoka mkoani Arusha zinadai kuwa mahakama kuu kanda ya Arusha imetoa hukumu ya kesi ya kupinga matokeo katika jimbo la Arusha Mjini na kuteungua ubunge wambunge wa jimbo hilo Godbless Lema .
Hivyo kwa sasa jimbo hilo halina mbunge baada ya mbunge wake Lema kushindwa kesi hiyo ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2010.
Hivyo kwa sasa jimbo hilo halina mbunge baada ya mbunge wake Lema kushindwa kesi hiyo ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2010.
STORI ZAIDI FUATILIA MTANDAO HUU