WAALIMU MAKETE WAPEWA SOMO

MAKETE IRINGA

JUMLA YA WALIMU 17 KUTOKA KATIKA SHULE ZA MSINGI 34 WILAYANI MAKETE MKOANI IRINGA WAMEPEWA MAFUNZO YA AFYA N A MAZINGIRA MASHULENI

AKIFUNGUA MAFUNZO HAYO LEO KATIKA UKIMBI WA MTC TANDALA  AFISA ELIMU WA MKOA WA IRINGA BW JOSEPH MNYIKAMBA AMSEMA USAFI WA MAZINGIRA UNATAKA KILA MWANACHAMA  KUFIKISHA ASILIMIA 50 MASHULENI


KWAUPANDE WAKE MRATIBU WA HUDUMA YA MAJI,AFYA  NA USAFI WA MAZINGIRA SHULENI WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO BI THERESIA KUIWITE AMESEMA MAKETE INAJENGA VYOO 17 NA MIUNDO MBINU YA MAJI.

CONRADI MPILA


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo