Msanii Rich Mvoko


Msanii Rich Mvoko Amesema licha ya ugeni katika mziki wa kizazi kipya amesema mwaka huu ambao kwake unagawanyika kwa mbili atafanya vyema katika kazi zake zijazo.

Rich amesema mara baada ya kuachia kazi yake ya kwanza lakini amepata mafanikio makubwa hiyo ni ishara nzuri kwake na amejipanga kufanya makubwa zaidi katika kazi zake zijazo..aliongeza mpaka sasa msanii ambaye anamuumiza kichwa ni Diamond na sababu amesema ni kutoakana na msanii huyo kuwa na style ya kivyake vyake na anakubalika sana..

Na Pro 24


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo