UCHAKACHUAJI MADAWATI JAMANIIIII KUMBE NI ...............

Lile sakata la madenti wa kidato cha kwanza kudai kuwa wamechakachuliwa madawati yao na maticha na yakapelekwa kutumika kidato cha sita kumbe halina ukweli wowote

Mkuu wa shule hiyo Bw. Isdori Ng'imba amekanusha habari hizo na kusema si za kweli na badala yake yanayotumiwa na kidato cha tano ni yao na yako tofauti na yale ya kidato cha kwanza

Uzushi mwingine Bwana


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo