Wananchi wasusia msiba wa Afisa Mtendaji wao

Wananchi wa mtaa wa Kabuyobo uliopo kata ya Kasamwa mjini Geita wamesusia kushiriki msiba wa Afisa mtendaji wa kata ya Kasamwa aliyekuwa akitambulika kwa jina la Japhet Maganga kwa madai kwamba enzi za uhai wake alikuwa hashiriki misiba.


Daudi Makungu ni Mwenyekiti wa maafa katika eneo hilo amekiri kuwazuia wananchi kutoshiriki shughuli za msiba huo kutokana na marehemu kutoshirikiana na Wananchi kwenye misiba kwa kipindi cha miaka mitatu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo