Bibi Harusi aachwa baada ya Bwana harusi kugundua ana watoto 4

Siku ya maharusi wakifunga pingu za maisha huwa siku yenye bashasha na nderemo nyingi kusherekea wanapoingia maisha mengine.. Siku hii huwa yenye kupangwa ikapangika.


Ila kunayo harusi humo nchini Nigeria ambayo ilisherehekewa kwa vilio na majuto ya mjukuu, baada ya bibi harusi kuonekana akilia kwa nguvu huku wanawake wenzake wakijaribu kumliwaza.

Kizazaa hiki kilijiri kwenye barabara kuu na watu walipoulizwa kinachoendelea, bwana harusi alisema:Siku ya maharusi wakifunga pingu za maisha huwa siku yenye bashasha na nderemo nyingi kusherekea wanapoingia maisha mengine.. Siku hii huwa yenye kupangwa ikapangika.


Ila kunayo harusi humo nchini Nigeria ambayo ilisherehekewa kwa vilio na majuto ya mjukuu, baada ya bibi harusi kuonekana akilia kwa nguvu huku wanawake wenzake wakijaribu kumliwaza.


Kizazaa hiki kilijili kwenye barabara kuu na watu walipoulizwa kinachoendelea, bwana harusi alisema:''Tafadhali dada yangu mwambie mumeo  hadithi yako yote ya maisha'' mwingine alimshauri.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo