Akatwa chuchu na sehemu zake za siri na mpenzi wake

Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza linamsaka mwanaume ajulikanaye kwa jina moja la Masudi kwa tuhuma za kumkata chuchu na sehemu za siri na kitu chenye ncha kali mpenzi wake ambaye jina lake limehifadhiwa.


Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mwanza Ramadhan Ng'anzi, amesema tukio hilo limetokea wilayani Magu katika msitu wa Sayaka ambapo mwanaume huyo anadaiwa kumchukua mpenzi wake huyo na kutekeleza unyama huo kisha kukimbia kusikojulikana.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo