Maneno ya Gerson Msigwa kwa aliyekuwa Mpambe wa Rais Magufuli

Hongera sana Kaka yangu Brigedia Jenerali Mbaraka Mkeremy. Nakutakia heri nyingi katika majukumu utakayopangiwa huko Jeshini. Japo sina taaluma ya Jeshi, sina mashaka kuwa umestahili kupandishwa cheo kutoka Kanali na kuwa Brigedia Jenerali. Mwenyezi Mungu akusaidie na akuongoze.



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo