Meya: Wanaoondoka Chadema ni wale ambao tulishamaliza matumizi nao, kwahiyo ni takataka tu

Takataka ni kitu ambacho huna matumizi nacho kwa wakati huo, na watu wengi wanaoondoka Chadema ni wale ambao tulishamaliza matumizi nao, kwahiyo ni takataka tu – Meya wa Ubungo, Boniface Jacob (CHADEMA)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo