Kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge, Dkt. Elly Macha Dodoma

Mwili wa marehemu Dkt. Elly Marko Macha unaagwa leo Aprili 21, 2017, katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma, ambapo wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaaga mwili huo na baada ya hapo kusafirishwa kuelekea nyumbani kwao Arusha.
Marehemu Dkt. Elly Macha alikuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi kifo kilipomkuta katika Hospitali ya New Cross Wolverhampton nchini Uingereza alikokuwa akipatiwa matibabu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo