AUDIO: Kutoka kwenye Kikao cha Kuipokonya Simba Pointi 3 za Kagera

Kile kikao cha Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji kilichokutana jijini Dar Es Salaam Kujadili suala ya Timu ya Kagera Sugar Kupokonywa point 3 na kupewa Simba Sports Club kimeahirishwa usiku wa leo 

Taarifa iliyotolewa na mwandishi wa Azam TV Philip Cyprian imesema kwamba kikao hicho kimeahirishwa mpaka kessho ambapo kinatarajiwa kutoa maamuzi yake

Sikiliza sauti hii hapa Chini Ikieleza kwa kina:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo