Wafanyabiashara SIDO Watangaza Kufunga Maduka Oktoba 27

 Mwenyekiti wa wafanyabishara Mkoa wa Mbeya, Charles Syonga akizungumza na wafanyabishara wa soko la Sido jijini Mbeya Juu ya azma yao ya kufunga maduka siku ya Oktoba 27 mwaka huu,ili kujua hatma yao baada ya Halmashauri ya jiji kurasimisha kituo cha daladala kabwe kugezwa soko hivyo kuadhiri baiashara zao (PICHA NA KENNETH NGELESI)



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo