Kufuatia tukio la Kijana Edward Sanga (20) kunywa pombe aina ya Valuu pakiti 14 na kufariki dunia jana Oktoba 11, 2016, Mtandao huu umehojiana na watu kadhaa akiwemo muhudumu aliyemuhudumia pombe hiyo na watu wengine wengi, Sikiliza sauti hizi hapa chini:-
Sikiliza Sauti: Tukio la Kijana Kunywa Viroba 14 na Kufariki Dunia Makete (AUDIO)
By
Edmo Online
at
Wednesday, October 12, 2016
