Mwanafunzi wa darasa la pili shule ya Msingi Izumbwe kata ya Igale Wilaya ya Mbeya Atu Aden (11) akichota maji ya mvua ambayo yametuhama barabarani,maji hayo ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani muda wa masomo kama alivyokutwa na mpiga picha hivi karibuni
Mwanafunzi wa darasa la pili shule ya Msingi,Izumbwe kata ya Igale Wilaya ya Mbeya,Viviani Philipo (8) akitochata maji ya mvua yaliyotuhama barabarani,kwa ajili ya matumizi ya nyumbani muda wa masomo kama alivyokutwa na mpiga picha hivi karibuni (Picha zote na Kenneth Ngelesi)