Rais mteule wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein akiapishwa kuwa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kwa miaka mingine mitano,viongozi mbalimbali wastaafu na mabalozi pamoja na wageni waalikwa nao wamejumuika katika sherehe hizo katika uwanja wa Amaan.
Angalia Dkt Shein akila Kiapo cha Rais wa Zanzibar
By
Edmo Online
at
Thursday, March 24, 2016
Rais mteule wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein akiapishwa kuwa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kwa miaka mingine mitano,viongozi mbalimbali wastaafu na mabalozi pamoja na wageni waalikwa nao wamejumuika katika sherehe hizo katika uwanja wa Amaan.