Angalia Dkt Shein akila Kiapo cha Rais wa Zanzibar

Rais wa mapinduzi ya serikali ya Zanzibar Dkt.Ally Mohamed Shein akila kiapo muda huu huko visiwani zanzibar

Rais mteule wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein akiapishwa kuwa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kwa miaka mingine mitano,viongozi mbalimbali wastaafu na mabalozi pamoja na wageni waalikwa nao wamejumuika katika sherehe hizo katika uwanja wa Amaan.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo