Kijiji cha Ndulamo Makete chafanya makubwa, sasa wanachekelea maisha

 Zahanati ya kijiji cha Ndulamo wilaya ya Makete ambayo imeanza kutoa huduma
 Mwenyekiti wa kitongoji cha Ngiu wilayani Makete mkoani Njombe akizungumza na mwandishi wetu
 Mmmoja wa mwanamke aliyempeleka mwanaye kupata huduma kwenye zahanati hiyo
 Afisa mtendaji wa kijiji cha Ndulamo Majuto Mbwilo akizungumza na mwandishi wetu kijijini hapo

Mganga mfawidhi wa kituo hicho akizungumza na mwandishi wetu

Wananchi wa kijiji cha Ndulamo Kata ya Iwawa mji mdogo wa Makete mkoani Njombe wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya baada ya zahanati ya kijiji hicho kuanza kufanya kazi

Wakizungumza na Eddy blog wananchi hao wamesema awali walikuwa wakifuata huduma hiyo hospitali ya wilaya ya Makete ambayo ipo umbali na hivyo kufuatia huduma hizo kuanza kutolewa wanaona neema ya kujitoa kwa hali na mali kushirikiana na serikali

habari/Picha na Edwin Moshi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo