Picha 34 za Edward Lowassa akiwa Makete Mjini

 Wananchi wa Makete waliofika kumsikiliza Edward Lowassa eneo la Mabehewani Makete Mjini
 Mgombea urais wa CHADEMA kupitia mwavuli wa UKAWA Edward Lowassa akisalimiana na Askofu Mstaafu wa dayosisi ya kusini Kati Dkt Solomon Swallo aliyefika katika mkutano wake
 Mgombea urais wa CHADEMA kupitia mwavuli wa UKAWA Edward Lowassa akisalimiana na Msaidizi wa Askofu wa dayosisi ya kusini Kati Philemon Kahuka aliyefika katika mkutano wake


 Mzee Kingunge Ngombare Mwiru akizungumza na wakazi wa Makete katika viwanja vya mabehewani Makete Mjini

 John Mrema wa CHADEMA akisisitiza jambo kwa wanamakete

 Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Freeman Mbowe akihutubia wananchi wa Makete

 Sehemu ya wananchi wa Makete 

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA kwa mwavuli wa UKAWA Edward Lowassa akitoa hotuba yake kwa wananchi wa Makete akiwaomba wamchague yeye kuwa rais wa awamu ya tano
 
Lowassa akiendelea na hotuba yake


 Mgombea Ubunge jimbo la Makete kupitia CHADEMA Jackson Mbogela akitaja kero tatu kubwa kwa wananchi wa Makete mbele ya Mgombea Urais Edward Lowassa

 Lowassa akimnadi mgombea ubunge jimbo la Makete kupitia CHADEMA Jackon Mbogela
 Baadhi ya wagombea Udiwani kata mbalimbali za wilaya ya Makete kupitia CHADEMA wakiombewa kura na Edward Lowassa
 Lowassa akijiandaa kuondoka eneo la mabehewani mara baada ya kuomba kura kwa wananchi
 Lowassa akiagana na makamanda wa CHADEMA ngazi ya wilaya




 Chopa aliyokuja nayo Lowassa ikijiandaa kumbeba

 Lowassa akiingia kwenye Chopa baada ya kumaliza mkutano wake Makete

 Chopa ya Lowassa ikijiandaa kuondoka Makete
Picha zote na Edwin Moshi wa Eddy Blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo