Angalia Picha:Basi limegonga treni Tabora,baadhi ya abiria wafariki papo kwa hapo

Ajali mbaya imetokea leo majira ya saa nane mchana ikihusisha treni na basi la abiria huko mkoani Tabora.

Ajali hiyo imetokea eneo la Mororo,Tabora. Inasemekana watu watu ambao idadi yao haijajulikana wamepoteza maisha kwenye eneo la tukio.

Lakini taarifa zilizoripotiwa na kituo cha redio VOT Tabora  ni kuwa ajali hiyo Imetokea mkoani Tabora barabara ya kwenda Urambo umbali wa kilomita kama kumi hivi kutoka Manispaa, baada ya gari la abiria kugongana na treni ya mizigo kwenye "Railway crossing", watu waliofariki bado hawajafahamika idadi yao kamili ila waliotambuliwa ni wawili mmoja ni Samweli, mkazi wa kata ya Ufuruma wilayani Uyui na Mwingine ni Issa

taarifa zaidi zitakujia hapa hapa

Name:  IMG-20150727-WA0012.jpg
Views: 1633
Size:  66.4 KB


Name:  IMG-20150727-WA0011.jpg
Views: 1399
Size:  64.7 KB


Name:  IMG-20150727-WA0010.jpg
Views: 1296
Size:  59.1 KB


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo