ANGALIA VIDEO JINSI MAKAHABA WALIVYOANDAMANA ILI WATAMBULIWE NA SERIKALI

DSC07254 
Kundi la wanawake wanaofanya biashara ya kujiuza nchini Kenya limefanya maandamano kuadhimisha siku ya makahaba duniani jana December 17, lengo lake ni kukomesha dhuluma dhidi yao.

Wanawake hao waliandamana ofisi ya Jaji Mkuu Willy Mutunga wakitaka Serikali kuwapa nafasi ya kuwatambua rasmi na wawe walipa kodi halali kama ilivyo kwa wafanyabishara wengine.

Waandamanaji hao wameishutumu Serikali kwa kuruhusu ukiukwaji wa haki zao za kibinadamu kwa kutokana na kesi ambazo huwa zinawahusu kutochukuliwa hatua za kisheria.

Nilikurekodia sauti na video wakati habari hiyo ikiripotiwa na kituo cha K24, unaweza kubonyeza play kuisikiliza.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo