TAZAMA PICHA ZA NDOA YA HUSSEIN MACHOZI ALIYOIFUNGA KIMYA KIMYA HUKO KENYA


Hatua ya Mwanamuziki Hussein Machozi kuamia nchini Kenya na kufanya muziki wake huko kimempatia Hadi mke ndoa ina mwaka sasa na ilikuwa ni siri...Kaoa mke Kutoka Mombasa karibu na Tanga Mapenzi yalipozaliwa.

Hussein Machozi Kupitia Ukurasa wake wa facebook amefunguka haya:

"Ukiwa umefunga ndoa ya haki usiifiche. Mungu atazidi kukufungulia mengi. 
NDIO ILIKUA NDOA YA HUSSEIN MACHOZI NA SHU YUNUS OMAR. MOMBASA KENYA. NI MWAKA SASAAA"


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo