Tumezoea kuona land rover kama hizi zikitumika kama break down za kubeba magari mabovu barabarani ama wakati mwingine yaliyopata ajali, lakini safari hii kamera yetu imeshuhudia gari hilo likiwa limebeba pikipiki za kutosha, sasa hatukufahamu mara moja kama pikipiki hizo ni mbovu zinahitaji kuvutwa ama vipi, hii ni Msimbazi jijini Dar. Picha na Ujiji