Maandalizi ya kukipokea kituo kipya cha redio jijini Dar es salaam yanaendelea kwa kasi ambapo tumeshuhudia kituo kitakachoitwa Gheto Fm kitakachosikika kupitia 94.5 kikiandaa matangazo ya kuonesha ujio wao mpya
Kwa sasa maandalizi yanaendelea, tusubirie tuone itakuwaje