skip to main |
skip to sidebar
MZOGA WA NYANGUMI WAIBUKA PWANI YA MTWARA, TAZAMA PICHA HIZI HAPA
Mzoga wa samaki aina ya nyangumi umeibuka katika pwani ya Mtwara
leo baada ya kukutwa ukielea bahari kuu na wavuvi. Mzoga huo ulivutwa
hadi pwani kwa mshangao wa wananchi. Taarifa kamili ya tukio hilo
zinatafutwa kwa sasa angalia taswira za mzoga huo
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi