skip to main |
skip to sidebar
LADY JAY DEE ATEULIWA KUWA BALOZI WA KAMPENI YA UZAZI WA MPANGO
Hospitali ya Marie Stopes imemchagua Lady Jay Dee kuwa balozi wa
kampeni ya kuhamasisha uzazi wa mpango na kupinga mimba za utotoni
inayoitwa ‘Chagua Maisha’.
Akiongea na TBC, Lady Jay Dee amesema kuwa anaweza kufikisha ujumbe
kwa jamii kwa kuimba nyimbo ambazo zitasaidia kuwahamasisha wananchi
kuchagua jinsi ya kuishi kwa kutumia uzazi wa mpango.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi