Oscar
Pistorius akiwa amesimama ndani ya mahakama jijini Pretoria baada
ya Jaji Thokosile Masipa kuwasili kwa ajili ya kusoma hukumu.
Oscar Pistorius akisikiliza hukumu yake.
Pistorius akiwa amezungukwa na walinzi, polisi, wanahabari, mashabiki wake wakati akiwasili mahakamani.