Hot News!! FREEMAN MBOWE ATANGAZWA MSHINDI MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA



MATOKEO RASMI:
Uchaguzi mkuu umefanyika kwa amani kabisa na yafuatayo ndiyo matokeo rasmi:
Makamu Mwenyekiti zanzibar
Said Issa Mohamed 645 Hamad Mussa Yusuph 163
Makamu Mwenyekiti Bara
Professor Abdallah safari  Kura za Ndiyo 775 Kura za Hapana 34 Zilizoharibika 2
Mwenyekiti Taifa
Freeman Aikael Mbowe 789 Gambaranyera Mong'ateko 20 Zilizoharibika 2
Ushindi wa Freeman Mbowe ni asilimia 97.3%
Sasa ni Rasmi Freeman Mbowe ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi cha tatu cha mwaka 2014-2019


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo