![]() |
| Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi chapisho la
tatu la taarifa za msingi za kidemografia,kijamii na kiuchumi pamoja na
tovuti katika kupata taarifa za Sensa na Makazi katika hafla
iliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl.Julius
Nyerere jijini Dar es Salaam JANA.
Viongozi wengine walioshiriki katika hafla ya uzinduzi huo kutoka kushoto ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Bibi Mariam Khan Mwakilishi wa UNFPA,Waziri Mkuu Mizengo Pinda,Waziri wa Fedha Bi.Saada Mkuya na kulia ni Kamishna wa Sensa na Makazi Hajjat Amina Mrisho Said. |
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wageni waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa
Chapisho la tatu la taarifa za msingi za kidemografia,kijamii na
kiuchumi pamoja na tovuti itakayowezesha kupatikana kwa taarifa
mbalimbali za sensa ya watu na Makazi katika hafla iliyofanyika katika
ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es salaam

