LIVE USIKU HUU: SALIM KIKEKE WA BBC AIBUKA KINARA TUZO ZA WATU KAMA MTANGAZAJI WA RUNGINGA ANAYEPENDWA

 
Mtangazaji wa idhaa ya kiswahili ya BBC Salim Kikeke ameibuka mshindi katika Tuzo za watu zinazotolewa usiku huu jijini Dar, katika kipengele cha Mtangazaji wa runinga anayependwa. Hawa ndiyo aliokuwa anachuana nao

MTANGAZAJI WA RUNINGA ANAYEPENDWA

1. Salama Jabir – EATV

2. Sam Misago – EATV

3. Salim Kikeke – BBC Swahili


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo