BAADA YA GARI LA SERIKALI KUTUMBUKIA SHIMONI, VIJANA WATWANGANA MAKONDE KUGOMBEA HELA ZA KULINASUA


Shimo ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.Gari  la serikali likiwa limekwama kwenye shimo hilo.Muonekano wa shimo ulivyo.Vijana wakilisukuma gari  hilo.Ugomvi ulivyoibuka katika kugawana fedha iliyotolewa na mwenye gari lililonasuriwa.Baada ya gari kukwamuliwa na kujitayarisha kuondoka.
(Picha na Gabriel Ng’osha/GPL)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo