TUNDU LISSU KUITWA KWENYE KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI SINGIDA, KISA KAWAKATAZA WANANCHI KUCHANGA MICHANGO

Ni kwa sababu ya kuzuia michango ya maendeleo hadi taarifa za michango hiyo zitolewe! 

Baadhi ya Madiwani wamemwagiza Tundu Lissu atoe michango hiyo toka mfukoni mwake kama hataki watu wachangie, lakini Diwani mmoja amedai kwamba anajua kwamba Lissu ni mwanasheria lakini matendo yake hayafanani na taaluma yake! 

Hata hivyo Tundu Lissu ameshikilia msimamo wake wa kuzuia wananchi kuchangisha michango! Kwa hiyo imeamuliwa afikishwe kwenye Kamati ya Maadili ya Madiwani ili kumjadili! 

Source: Habari, Star Tv.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo