Mwili wa mtu huyo ukielea kwenye maji ya mto Mzinga.
Mwili baada ya kutolewa nje kabla ya kuzikwa na jiji.
Kamera yetu leo hii imenasa mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika
jina lake ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es
Salaam.
Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo hilo kudai kuwa
harufu kali ilikuwa ikitoka eneo hilo na ndipo waligundua maiti hiyo
ambayo waliikuta ikiwa imeharibika kwa kiasi kikubwa.
(Picha: Chande Abdallah/GPL)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi