Mdau Benson Moshi ambaye ni mwanafunzi wa KAM College Kampasi ya Kimara anapenda kuwataarifu wadau wake wote kuwa anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa vijana wa CCM (UVCCM) tawi la chuo hicho, hivyo anaomba sana kura yako katika uchaguzi unaotegemewa kufanyika wiki ijayo.
Mdau anaimani anaweza kuleta maendeleo kama mwenyekiti mtarajiwa endapo utampa kura yako, anaomba siku ya uchaguzi usipoteze kura yako kwa kumchagua mtu mwingine awe mwenyekiti zaidi yake, pamoja tumuunge mkono!
