BAADA YA STORI ZA KIFO CHA DR. CHENI KUSAMBAZWA, SOMA HII KWA UNDANI

Mwigizaji na muongozaji wa bongomovie Dr. Cheni ambaye alianza kupata umaarufu kwenye fani ya uigizaji na thamthilia za kundi la Kaole na sasa akiwa anafanya movie zake, 12 May alizushiwa kifo ikiwa imeunganishwa na ishu yake ya kulazwa hospitali kutokana na homa ya dengu.

Baada ya huo uvumi kusambaa Elizabeth Michael ”Lulu” aliandika >>> ‘Jamani kuna mambo ya kuzushiana lakini sio kifo, kuna habari zimezushwa kwamba Dr. Cheni amefariki, ni habari za uongo jamani…. yuko salama kabisa na juzi ameruhusiwa kutoka hospital na anaendelea vizuri, tunajua kufa ni wajibu lakini mpaka Mungu mwenyewe apende….. pole baba angu’
1
Dr Cheni na yeye aliandika ‘Jamani kifo kipo na hakuna atakaekwepa ni lazima tutakufa na hakuna atakaebakia ila si vyema kunizushia, siku yangu itafika tu na wote mtajua lakini si jambo la busara kunizushia.
2 
Hii ni moja ya picha zilizosambaa kwenye internet zikimuonyesha Dr Cheni akiwa hospitali
4


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo