ANGALIA PICHA KIJANA AKUTWA AMEJERUHIWA VIBAYA KIMARA JIJINI DAR

Kijana alivyokutwa eneo la Kimara-Mwisho akiwa amejeruhiwa vibaya.
Akipelekwa kwenye gari la polisi.
.Akiwa kwenye gari la polisi kupelekwa hospitali. 
 
KIJANA ambaye hakufahamika jina lake mara moja alikutwa ametupwa maeneo ya Kimara-Mwisho, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita huku akiwa na majeraha yakutisha.
 
 Haikufahamika mara moja kuwa mtu huyo alipigwa au alitupwa eneo hilo na nani. Polisi walifika eneo la tukio na kumpeleka hospitali akiwa na hali mbaya.
(Picha na GLOBAL WHATSAPP


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo