PICHA ZA KIBAKA ALIYEDUNDWA MPAKA KUPOTEZA UHAI LAIVU, ONYO! PICHA ZINATISHA!


Kijana Mmoja aliyetuhumiwa kuwa Kibaka Akiwa amekaa kwa Huruma mara baada ya Kushushiwa Kipigo na wanaodhaniwa wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe cha Mjini Morogoro.

Wanafunzi wa Chuo Kukuu Mzumbe walimkamata Kijana Mmoja anayesadikiwa kuwa kibaka kwenye moja ya Mabweni yao akijaribu kuiba vitu mbali mbali na Ndipo walipomshushia kichapo hadi kinachodaiwa kupoteza maisha.




Kibaka huyo akiwa amelala chini mara baada ya Kupigwa.
Tukio hilo lilitokea saa nane usiku ambapo kibaka huyo anayeisha nje ya Chuo hicho alikamatwa na mmoja wa wanafunzi ndani ya Bweni akiwa na lundo la Nguo na viatu.Shuhuda wa alisema Kwa muda mrefu wanafunzi hao walilalamika kuibiwa vitu vyao na watu wasiowafahamu.


Kibaka huyo aligoma kutua mizigo hiyo jambo linalodiwa kuzidisha hasira kwa Wanafunzi hao na kuzidisha kumshambulia.


Baada ya kukithiri kwa vitendo hivyo Chuoni hapo Wanafunzi waliamua kuongeza umakini wa kubaini mwizi wao ambapo mmoja wa wanafunzi ambaye alikuwa akijisome alisikia kishindo cha mtu kwenye Korido la Bweni lake ambapo baada ya kuchungulia alimshuhudia kibaka huyo akitoka na vitu mbali mbali ndipo alipoamua kupiga mayowe ya Mwizi yaliowaamusha wenzake ambao walimzingira kibaka huyo na kumkamata akiwa na kithibiti mkonono

"Madent hao waliokuwa na hasira walidaiwa walimpiga mwizi huyo ambaye kwa mashangao wa wengi kilicha ya kichapo hicho aligoma kuachia mazigo hiyo jambo lililozidisha hasira kwa madent hao na kuamu kuongeza kasi ya kumpiga na kudiwaiwa kumuua"alisema Shuhuda huyo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo