Kwa mujibu wa blog ya Swahiliworldplanet
restaurant hiyo inaitwa Medina na haijajulikana kama inamilikiwa na
mtanzania au lah, huku picha za Irene Uwoya, Diamond Platinumz, Johari
na Vicent Kigosi "Ray" zikitumika kupamba kuta za restaurant hiyo.
Picha hii ya Johari na Ray inasemekana ilipigwa miaka kadhaa
nyuma wakati wakiigiza filamu ya Revenge na ipo katika Restaurant ya
Medina nchini China.
