NJIWA WA MAAJABU ATUA MAHAKAMANI KAHAMA KWENYE DHAMANA YA MH KASULUMBAYI ... HAIKUPITA MUDA, AKAPEWA DHAMANA

 JIWA MOJA AMBAYE AKUJULIKANA ALITOKA WAPI KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA YA KAHAMA  KABLA YA KUPEWA KWA DHAMANA KWA WAFASI WA CHADEMA NA MBUGE WAO SLYVESTER KASULUMBAYI .
 MBUGE WA MASWA SLYVESTER KASULUMBAYI WAKIWA NA VIONGOZI WA CHADEMA WILAYA YA KAHAMA NA MWENYEKITI  JUMA PROTEX WAKITOKA MAHAKAMANI BAADA YA KUKIDHI HATI YA  DHAMANA
 MBUGE WA MASWA SLYVESTER KASULUMBAYI WAKIONYESHA VIDOLE JUU WAFASI WAO BAADA YA KUPEWA DHAMANA .
 WAKIWA NA FURAHA BAADHI YA VIONGOZI WA WILAYA WA CHAMA CHA MAENDELEO NA DEMOKRASI CHADEMA WAKITOKA NJE YA MAHAKAMA YA WILAYA
 HIVI NDIYO HALI YA KUWA HURU KWA MBUGE WA MASWA MASHARIKI KWA TIKETI YA  CHAMA CHA DEMOKRASIA MAENDELEO  CHADEMA.
 BAADHI YA WAFASI WA  CHADEMA WAKIWA NA FURAHA BAADA YA WEZAO KUPEWA DHAMANA
 HATA HIVYO PIKIPIKI NAZO ZILIKUWEPO KWA  MAPOKEZI  KWA KWENDA OFISINI KWAO


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo