skip to main |
skip to sidebar
MAKAO MAKUU YA CHADEMA JIJINI DAR ES SALAAM YANUSURIKA KUCHOMWA MOTO
Usiku
wa kuamkia February 11 makao makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendelea
Chadema yaliyopo jijini Dar es salaam yamenusurika kuteketea kwa moto
baada ya watu wasiojulikana kufanya jaribio la kulipua ofisi za makao
hayo.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi