KITUO CHA MABASI MAKAMBAKO NI KERO KUBWA MSIMU HUU WA MVUA


 Stand ya makambako kama inavyoonekana ikiwa imejaa matope kutokana na mvua zinazoendelea mkoani Njombe na Iringa. Imekuwa kero kwa wakazi wa hapo na wafanyabiashara katika stand hiyo. 
 Wamachinga wakiendelea kufanya biashara katika mabasi yanayoingia katika stand ya Makambako. (Picha zote na Denis Mlowe).


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo