Mh Freeman
Mbowe akiongea na waandishi wa habari muda mchache baada ya kuachiwa
kwa dhamana baada ya kukamatwa leo asubuhi na kuhojiwa kwa kosa la
kuzidisha muda wa mikutano iliofanyika jana
wakiwa na viongozi wenzake Mch Peter Msigwa (Mb) na Mh Halima Mdee (Mb)
Mh Mbowe akiwaaga wananchi wa Iringa manispaa waliokuwepo viwanja vya Mwembetogwa kabla ya kuondoka na Chopa.
Mh
Halima Mdee na Mch Peter Msigwa (MB) wakiwapungia mikono wananchi
waliofika wakati wanaondoka Iringa kuelekea Morogoro kwa Chopa.
Wapenzi na wanachama wa Chadema wakiangalia viongozi wakijiandaa kuondoka viwanja vya Mwembetogwa manispaa ya Iringa.
CHOPA INAONDOKA.
PICHA ZOTE mnyalu.