NEWS ALERT: MSAFARA WA MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA MH. FREEMAN MBOWE WAPATA AJALI NGARA

Gari la mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Mh Freeman Mbowe, limepata ajali wilayani Ngara baada ya mtu aliyekuwa akiendesha pikipiki kuingia ghafla barabarani.

Mwenyekiti hajaumia lakini muendesha pikipiki huyo hali yake si ya kuridhisha.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo