YALIYOJIRI KWENYE MECHI KATI YA VATICAN CITY MAKETE NA TIMU YA UVIKANJO KIPENGELE

 Kikosi cha timu ya Vatican city (picha na maktaba)

Taarifa kutoka kwa mwandishi wetu Conradi Mpila zinasema kuwa mchezo wa mpira wa miguu uliopigwa katika dimba la Iwawa wilayani Makete mkoani Njombe kati ya Vatican City ya Makete dhidi ya Uvikanjo Kipengele umemalizika salama licha ya mechi hiyo kupigwa wakati mvua ikinyesha

Hadi mwisho wa mchezo Uvikanjo Kipengele imeibuka na ushindi wa mabao 3 dhidi ya Vatican City iliyopata mabao 2


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo