WAUMINI WAKISIKILIZA MAHUBIRI YS MCHUNGAJI TOKA KILIMANJARO-MOSHI
=========
Mchungaji wa kanisa la kiluthel Tanzania toka Moshi Michael Macha
amekemea matumizi mabaya ya mavazi kwa vijana huku akiwataka wazazi
kuwaalinda watoto wao ili wawe na maadili mema na kumtumikia Mungu.
Ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika kata ya Malangali wilayani Mufundi katika mkutano wa jimbo uliokutanisha waumini mbalimbali wa kanisa hilo na makanisa mengine uliofanyikia eneo la soko kuu la malangali mjini.
Aidha mchungaji Macha amesema kuwa waumini wa kikristo wanatakiwa kujihadhari na vitendo ambavyo vimekuwa vikishamili kwa sasa ya ukahaba na jinsia moja na kwamba jambo hilo ni la kumhasi Mungu.
Ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika kata ya Malangali wilayani Mufundi katika mkutano wa jimbo uliokutanisha waumini mbalimbali wa kanisa hilo na makanisa mengine uliofanyikia eneo la soko kuu la malangali mjini.
Aidha mchungaji Macha amesema kuwa waumini wa kikristo wanatakiwa kujihadhari na vitendo ambavyo vimekuwa vikishamili kwa sasa ya ukahaba na jinsia moja na kwamba jambo hilo ni la kumhasi Mungu.