TATOO, KIPARA NA MUONEKANO MPYA WA MSANII RAY, VYAWAKERA MASHABIKI WAKE

Hatujui kama ni filamu ama maisha ya kweli, lakini muonekano mpya wa muigizaji wa filamu, Vincent Kigosi aka Ray umewachefua wengi na wanadai kuwa amechemka vibaya.

“Sasa c muotee kitu gani kinakuja, au nami nimegeukia Bongo Fleva,” amechokoza Ray kwenye picha alizoziweka kwenye Instagram.

Picha hizo zinamuonesha akiwa amejichora tattoo nyingi mkononi na huku kichwani akiwa amezinyoa nywele za utosini na hivyo kuonekana kama mtu mwenye upara wa asili.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo